Monday, 29 April 2013

OFISI YA WAZIRI MKUU YAPOKEA TUZO YA UTOAJI HUDUMA BORA WA AFYA NA USALAMA KAZINI KAZINI

DSC01314 
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akitazama onyesho la uokoaji kutoka mwokoaji wa mgodi  wa North Mara Gold Mine katika maonyesho ya kuadhimisha Siku ya Afya na Usalama Duniani yaliyofanyiaka kwenye uwanaj wa Shikh Amri Abeid jijini Arisha, Aprili 28,2013. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akitazama vifaa vya uokoanji katika banda la maonyesho ya kuadhimisha  siku ya Afya na Usalama Duniani kwenye  uwanaja wa Sheikh Amri Abeid jijini Arusha Aprili 28,2013. (Picha na Ofisi yaWaziri Mkuu)

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...