Mbunge wa Morogoro kusini, Innocent Kalogeris akizungumza jambo katika hafla ya pamoja ya watumishi wa halmshauri ya Morogoro Vijijini na madiniwa wa halmashauri iliyofanyoka kwenye hoteli
ya New Savoy mkoani Morogoro. kutoka kulia ni Eden Munishi aliyekuwa
mkurugenzi wa halmsahauri na wa pili kutoka kulia ni Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Morogoro Vijijini, Julisu Madiga na kushoto ni Mwenyekiti wa halamshauri ya Morogoro Vijijini Kibena Kingo.
No comments:
Post a Comment