Makamu
wa Rais wa Kampuni ya Kimataifa ya Vifaa vya Mtandao wa Teknolojia ya
Kisasa ya Zhong Xing Telecommunication Equipment { ZTE }ya Nchini China
Bwana Chen Jinsong akizungumza na Makamu wa Pili wa Rais wa ZXanzibar
Balozi Seif Ali Iddi hapo Ofisini kwake Vuga Mjini Zanzibar.
Kulia
yao ni Mwakilishi wa Kampuni hiyo Nchini Tanzania ambayo ndio
inayosimamia ujenzi wa Mkongo wa Taifa Zanzibar Bwanan Wayne Zhu.
Makamu
wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akibadilishana mawazo
na Makamu wa Rais wa Kampuni ya Kimataifa ya Vifaa vya Mtandao wa
Teknolojia ya Kisasa ya Zhong Xing Telecommunication Equipment { ZTE }
ya Nchini China Bwana Chen Jinsong.
Mwenyekiti
wa Kampuni inayoendesha Miradi ya Hoteli za Kimataifa Afrika Mashariki
iitwayo Mada Hotels yenye Makao Makuu yake Mjini Nairobi Nchini Kenya
Bwana Tinu Mhajan akizungumza na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar
Balozi Seif Ali Iddi hapo Ofisini kwake Vuga Mjini Zanzibar.
Makamu wa
Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif akielezea fursa za uwekezaji
zilizopo Zanzibar katika sekta ya Utalii mbele ya Mwenyekiti wa Kampuni
inayoendesha Miradi ya Hoteli za Kimataifa Afrika Mashariki iitwayo Mada
Hotels yenye Makao Makuu yake Mjini Nairobi Nchini Kenya Bwana Tinu
Mhajan
Mwenyekiti
huyo wa Mada Hotels alifika Zanzibar kuangalia maeneo ambayo Kampuni
yake inaweza kuwekeza katika ujenzi wa Hoteli za Kitalii.
Picha na Hassan Issa wa – OMPR – ZNZ.




No comments:
Post a Comment