Monday, 3 June 2013

KINANA NDANI SONGEA MKOANI RUVUMA

Makada  wa CCM mkoa  wa Ruvuma  wakiongozwa na kada  namba moja mzee Songambele (kushoto)wakimsubiri Kinana  kwa ajili ya mapokezi leo katika ofisi  za CCM mkoa  wa Ruvuma
kada  wa CCM mzee  Songambele (kushoto) akisalimiana na katibu mkuu  wa CCM Taifa Abdulrahman Kinana  leo nje ya ofisi ya  CCM mkoa  wa Ruvuma
Burudani mbali  mbali zikiendelea nje ya ofisi  ya CCM mkoa  wa Ruvuma
waziri  wa mambo ya ndani ya nchi na mbunge wa jimbo la Songea mjini Dr Emmanuel Nchimbi (kushoto) akiwa na katibu  mkuu  wa CCM ndugu Kinana leo uwanja  wa maji maji
Vijana  wa burudani  wakionyesha ujuzi  wao mbele ya Kinana baada ya  kupokelewa mkoani Ruvuma leo

Mwanahabari  wa kituo bora  cha Runinga nchini Tanzania Clouds TV  akiwa ndani ya  Songea  leo baada ya Kinana kutua  Songea


No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...