
Msemaji wa Wizara ya Fedha Bi Ingiahedi Mduma akifafanua jambo kwa Bw. Eugene Koranteng Henaku wa Umoja wa Wafanyakazi wa Serikali Kuu na Serilkali za Mitaa Nchini Ghana.Picha zote na Scola Malinga- Hazina -Tanzania
Mkuu wa Kitengo cha Mikopo kutoka kwa Mhasibu Mkuu wa Serikali Wizara ya Fedha Bi. Christina Ngonyani akitoa ufafanuzi kwa wananchi wa Ghana juu ya umuhimu wa mikopo kwa Watumishi wa Serikalini.
Afisa Tawala Mwandamizi wa Wizara ya Fedha, Idara ya Mhasibu Mkuu wa Serikali Bw.Merkion Ndofi akiwaeleza wanafunzi wa Ghana juu ya utendaji kazi wa Idara ya Utawala katika wizara ya Fedha Nchini Ghana.





No comments:
Post a Comment