Wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Zanzibar Suza kilichokuwepo Tunguu wakiwa katika Ukumbi wa Juu wa Baraza la Wawakilishi wakifuatilia maswali na majibu pamoja na mijadala mbalimbali inayoendelea katika Baraza hilo lililokuwepo Mbweni nje ya Mji wa Zanzibar
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamo wa Pili wa Rais Mohd Aboud Mohd akijibu Maswali mbalimbali alioulizwa na wajumbe wa Baraza la Wawakilishi lililokuwepo Mbweni nje ya Mji wa Zanzibar.
Muwakilishi wa Jimbo la Mkwajuni Mbarouk Wadi Mussa kulia akiwa pamoja na Mwenyekiti wa Baraza kupitia nafasi za Wanawake Mgeni Hassan Juma wakipitia karatasi mbalimbali za maswali na majibu katika ukumbi wa Baraza la Wawakilishi lililokuwepo Mbweni nje ya Mji wa Zanzibar.
Waziri wa Katiba na Sheria Abubakar Khamis Bakari akionyesha karatasi ya Warka wa Kiwanja alipokuwa akijibu maswali mbalimbali alioulizwa na Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi huko Mbweni nje ya Mji wa Zanzibar.
PICHA NA YUSSUF SIMAI -MAELEZO ZANZIBAR.
No comments:
Post a Comment