Mh. Beatrice Shelukindo
Mh. Beatrice Shelukindo akipokea kipeperusha kinachoelezea huduma mbalimbali  zinazotolewa na Benki ya CRDB kutoka kwa mmoja wa wafanyakazi wa Benki hiyo wakati wa maonyesho ya taasisi za Fedha yaliyofanyika kwenye Viwanja vya Bunge mjini Dodoma.
Mh. Felix Mkosamali
Mh. Felix Mkosamali akisaini kitabu cha wageni kwenye Banda la Benki ya CRDB.
Mh. David Kafulila
Mh. David Kafulila akipata maelezo kutoka kwa wafanyakazi wa Benki ya CRDB.
Mh. Dr. Emmanuel Nchimbi
Waziri wa Mambo ya Ndani Mh. Dr. Emmanuel Nchimbi akihoji jambo  kwa wafanyakazi wa Benki ya CRDB.
Mh. William Lukuvi
 Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Uratibu na Bunge) Mh.William Lukuvi (Mb) akibadilishana mawazo na baadhi ya wafanyakazi wa Benki ya CRDB kwenye viwanja vya Bunge mjini Dodoma.
Mh. Fatuma Mikidadi
Mh. Fatuma Mikidadi  akisalimiana na mmoja wa wafanyakazi wa Benki ya CRDB wakati maonyesho ya taasisi za fedha yaliyofanyika kwenye viwanja vya Bunge mjini Dodoma.