Wednesday, 12 June 2013

MIUNDOMBINU YA USAMBAZAJI UMEME ZANZIBAR

untitled5 79f49
Rais wa Zanzibar Dk Ali Mohd Shein wakwanza kushoto akisalimiana na Makamo wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamadi katika Ufunguzi wa kituo cha mradi wa uimarishaji miundombinu ya usambazaji wa Umeme kilichojengwa kwa msaada wa JICA hapo mtoni Mjini Zanzibar


untitled6 473aa
Ras wa Zanzibar Dk Ali Mohd Shein kushoto akiwa pamoja na Balozi wa Japan Nchini Tanzania Masaki Okada wakifungua kituo cha mradi wa uimarishaji miundombinu ya usambazaji wa Umeme kilichojengwa kwa msaada wa JICA hapo mtoni Mjini Zanzibar

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...