| Mbunge wa Tandahimba ambaye ni mlezi wa tawi CCM la chuo kikuu cha waislamu Mororogoro Mh. Juma A. Njwao akinena jambo |
| Burudani nayo ikuwepo mwanadada kutka chuo cha Mzumbe akitoa burudani |
| Mh Mwiguru akihutubia wanachama wa CCM vyuo vikuu Morogoro |
| sehemu ya umati ya wanachama wa CCM vyuo vikuu Mororogoro waliohudhuria mahafali hiyo |
| Wanachama wakikabithiwa vyeti maalum vya uhitimu wa chuo |
| Mh Mwiguru akiondoka ukumbini huo vijana wakimuaga kwa bashasha nae akionekana ni mwenye furaha kwa vijana wake |
No comments:
Post a Comment