Hiki ndicho kikosi kamili cha timu ya benki ya NMB kilichong’ara siku hiyo katika kutimua kivumbi kwenye uwanja wa jamhuri.
Katika kuendeleza na kuimarisha mahusiano mazuri kati ya Benki ya NMB na waheshimiwa wabunge, Benki ya NMB iliandaa mtanange wa kukata na shoka ambao ulihudhuriwa na washabiki wa timu hizo mbili ambao ni wakazi wa manispaa ya Dodoma.
Na hii ndio timu ya waheshimia wabunge iliyowatikisa wachezaji wa timu ya NMB
Waziri wa nchi Ofisi ya Rais Mhe. George Mkuchika ambae alikua ndiye mgeni rasmi akikagua kikosi cha timu ya NMB kabla ya mpambano huo
Naibu waziri wa habari Vijana,Utamaduni na Michezo Mhe.Amos Makalla (Jezi ya njano na Bluu) akipigwa chenga na Afisa mkuu wa fedha NMB Waziri Waziri katika mtanange huo uliokuwa wa kukata na shoka.
Hawa ni sehemu ya mashabiki wa timu hizi mbili wakifurahia mtanange huuNa hii ndio timu ya waheshimia wabunge iliyowatikisa wachezaji wa timu ya NMB
Hawa ni sehemu ya mashabiki wa timu hizi mbili wakifurahia mtanange huu
Na hii ndio timu ya waheshimia wabunge iliyowatikisa wachezaji wa timu ya NMB
Waziri wa nchi Ofisi ya Rais Mhe. George Mkuchika ambae alikua ndiye mgeni rasmi akikagua kikosi cha timu ya NMB kabla ya mpambano huo
Naibu waziri wa habari Vijana,Utamaduni na Michezo Mhe.Amos Makalla (Jezi ya njano na Bluu) akipigwa chenga na Afisa mkuu wa fedha NMB Waziri Waziri katika mtanange huo uliokuwa wa kukata na shoka.
Hawa ni sehemu ya mashabiki wa timu hizi mbili wakifurahia mtanange huuNa hii ndio timu ya waheshimia wabunge iliyowatikisa wachezaji wa timu ya NMB
Hawa ni sehemu ya mashabiki wa timu hizi mbili wakifurahia mtanange huu
No comments:
Post a Comment