Thursday, 30 May 2013

UJENZI WA BARABARA YA MOROGORO KUSINI

Barabara ya kibungo Chini inayounganisha Wilaya ya Morogoro Mjini  Eneo la Bigwa mapaka Kisaki  Wilaya ya Morogoro Vijijini  kupitia kata ya kiroka, mkuyuni ,matombo mvuaha mpaka kisani,Eneo hilo lilikuwa korofi 
Barabara hiyo  yenye urefu wa kilomita 2.6 iko chini ya wakala wa barabara Nchini Tanroads imegarimu shilingi milion 300 mpaka mradi huo utakapokamilika na kuondoa kabisa tatizo sugu la eneo hilo korofi la kibungo chini
Mafundiwakiendelea na ujenzi wa barabara hiyo juzi wakati mbunge wa jimbo hilo Mh Innocent Kalogeris alipoenda kukagua ujenzi huo ikiwa ni utekelezaji wa ilani wa chama cha mapinduzi na utekelezaji wa ahadi ya mbunge wa jimbo hilo,
Barabara hiyo ikiwa katika hatua ya mwisho ya ujenzi

Mbunge wa jimbo la morogoro kusini Mh Innocent Kalogeris Aliyekaa kwenye gari mwenye nguo ya rangi ya njano akiwa eneo la ujenzi kukagua maendeleo ya ujenzi huo.


No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...