Friday, 17 May 2013

WAZIRI MKUU NA MATUKIO JANA MJINI DODOMA

IMG_5044Waziri mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na wabunge kutoka mikoa ya Mbeya na Iringa kwenye makazi yake Mjini Dodoma may 16,2013 Kutoka Kushoto Mbunge wa viti Maalum Mary Mwanjelwa, Mbunge wa Viti Maalum RItta Kabati, Mbunge wa kalenga na Waziri wa Fedha, William Mgimwa, na Mbunge wa mbozi Godfrey Zambi. (Piocha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...