Friday, 17 May 2013

RAIS DKT. JAKAYA KIKWETE AZINDUA KAMPENI YA LISHE LEO

lishe6 
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimkabidhi Rais Mstaafu Alhaj Ali Hassan Mwinyi tuzo maalum iliyotolewa na Taasisi ya Chakula na Lishe kutambua mchango wake mkubwa katika kusimamia lishe na maendeleo yake  nchini  katika uzinduzi wa kampeni ya lishe nchini  leo Machi 16, 2013  katika bustani ya Mnazi Mmoja jijini Dar es salaam. Kulia ni Rais Mstaafu Alhaj Ali Hassan Mwinyi na kushoto ni Mama Salma Kikwete akifuatiwa na Mama Maria Nyerere
 Rais Jakaya Mrisho Kikwete, Rais Mstaafu Alhaj Ali Hassan Mwinyi, Mama Maria Nyerere, Naibu Waziri wa Afya Dr. Seif Rashid wakipozi na wakuu wa mikoa mbalimbali waliohudhuria sherehe za uzinduzi wa kampeni ya Lishe Bora leo viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es salaam
  Rais Jakaya Mrisho Kikwete, Rais Mstaafu Alhaj Ali Hassan Mwinyi, Mama Maria Nyerere, Naibu Waziri wa Afya Dr. Seif Rashid wakipozi na marafiki wa maendeleo na wafadhili waliohudhuria sherehe za uzinduzi wa kampeni ya Lishe Bora leo viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es salaam
  Rais Jakaya Mrisho Kikwete, Rais Mstaafu Alhaj Ali Hassan Mwinyi, Mama Maria Nyerere, Naibu Waziri wa Afya Dr. Seif Rashid wazalishaji vyakula na vinywaji mbalimbali waliohudhuria
Mama Salma Kikwete akimpongeza Mama Maria Nyerere kwa kupokea tuzo kwa niaba ya Baba wa Taifa katika kutambua mchango wake katika kuendeleza lishe katika sherehe za uzinduzi wa kampeni ya Lishe Bora leo viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es salaam

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...