Friday, 28 June 2013

ABAS MTEMVU ATIKISA TEMEKE

001 e2a08
Mbunge wa Jimbo la Temeke, Abbas Mtemvu (aliyevaa miwani katikati), akifuatwa na wananchi baada ya kumaliza mkutano wa kuelezea utekelezaji wa Ilani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), katika Kata ya Temeke, Dar es Salaam hivi karibuni.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...