Friday, 28 June 2013

TASWIRA KUTOKA BUNGENI MJINI DODOMA


Mbunge wa Jimbo la Ilala, jijini Dar es Salaam, na mmoja wa Wenyeviti
wa Bunge, Mussa Zungu Azzan akiongoza kikao cha Bunge
Mbunge wa Viti Maalum (CCM) kutoka Mkoani Arusha, Catherine
Magige akiwa Bungeni mjini Dodoma Juni 26,2013.
Mbunge wa Nzega, Dk. Hamisi Kingwangalla (kulia) akizungumza na Mwenyekiti wa CCM nchi za SADC, Kelvin Nyamori (katikati) na Mbunge
wa Kisesa, Luhanga Mpina, nje ya Ukumbi wa Bunge mjini Dodoma jana.
Mbunge wa Viti Maalu, Faida Mohamed Bakar akizungumza jambo na
Mbunge wa Tandahimba, Juma Njwayo nje ya ukumbi wa Bunge mjini
Dodoma jana.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...