Monday, 10 June 2013

WAZIRI MKUU AHUDHURIA MKUTANO WA KIMATAIFA WA LISHE- LONDON

IMG_0318

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza katika Mkutano wa Kimataifa wa Lishe uliofanyika Mjini Londoni Juni 8, 2013.  Wapili kushoto ni Waziri Mkuu wa Ivory Coast, DanielDuncan. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
IMG_0188
Waziri Mkuu wa Uingereza David Cameron  akihutubia katika  mkutano wa kimataifa wa Lishe Mjini London.
IMG_0273
Waziri  Mkuu,Mizengo pInda ana Viongozi wengine wakimsikiliza Waziri Mkuu wa Uingereza, David Cameron wakati alipohutubia mkutano wa kimataifa wa Lishe mjini London.
IMG_0288
IMG_0146
Goodwill ambassador wa UNICEF, Angelique Kidjo ambaye apia ni mwanamuziki wa kimataifa akizungumza katika mkutano wa kimataifa wa Lishe uliofanyika mjini London.
IMG_0212
Rais wa Malawi Joyce Banda akihutubia katika mkutano wa lishe jijini London.
IMG_0336
 Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Kamishina wa Maendeleo ya Uchumi na Kilimo wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika (Commissioner for Rural Economy and Agriculture, African Inion Commission), Tumusiime Rhoda katika Mkutano wa Kimataifa wa Lishe Mjini London Juni 8, 2013. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...