IMG_0118
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiteta na Mbunge wa Mkuranga na  Waziri wa Kilimo na Ushirika, Adam Malima, Bungeni mjini Dodoma leo. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
IMG_0143
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiteta na wabunge, Bungeni Mjini Dodoma.
IMG_0150
 Waziri Mkuu,Mizengo Pinda akiteta na Wabunge Mary Chatanda wa Viti Maalum (kushoo)  na  Mbunge wa Sumbawanga, Aeshi Hillaly kwenye viwanja vya Bunge Mjini Dodoma
IMG_0164
Waziri Mkuu,Mizengo Pinda akiteta na Mbunge wa Musoma Mjini, Vincent Nyerere (kushoto)  kwenye viwanja vya Bunge Mjini Dodoma 
IMG_0172
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akimsaidia kurekebisha tai Mbunge wa Ileje, Aliko Kibona kwenye viwanja vya Bunge mjini Dodoma leo. Katikati ni Mbunge wa Kuteuliwa James Mbatia.
IMG_0177
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiteta Mbunge wa Ileje,Aliko Kibona  (kushoto) kwenye viwanja vya Bunge mjini Dodoma Juni 24,2013. Katikati ni Mbunge wa Kuteuliwa James Mbatia.
IMG_0170
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiteta na Mbune wa Sumbawanga, Aeshi  Hillaly kwenye viwanja vya Bunge Mjini Dodoma