
Mbunge wa Kibaha Kijijini Ndugu Hamoud A. Jumaa akihutubia wakazi wa Kibaha Kijijini na kuwaambia mafanikio waliyoyapata ikiwa pamoja na kufungua ofisi ya kisasa ya Mbunge kugawa pikipiki tisa na baiskeli themanini na sita kwa makatibu kata na mabalozi wa shina.

Viongozi wa CCM wilaya ya Kibaha wakicheza rusha roho wakati wa mkutano wa hadhara uliofanyika kwenye viwanja vya shule ya msingi Mtongani.

Suleiman Jabir maarufu kama Msagasumu akiburudisha umati uliofurika kwenye mkutano wa hadhara wa CCM uliofanyika kwenye viwanja vya shule ya msingi Mtongani Kibaha Kijijini.


No comments:
Post a Comment