![]() |
| Katibu mkuu wa CCM Taifa Ndugu, Abdulrahman Kinana akizungumza na wana CCM nje ya ofisi ya makao makuu ya CCM mkoa wa Njombe leo asubuhi kabla ya vikao vya ndani vya chama kuanza |
![]() |
| Umati mkubwa wa wana nchi Njombe mjini wakimsikiliza katibu mkuu wa CCM Taifa ndugu Abdulrahman Kinana leo nje ya ofisi ya CCM mkoa wa Njombe |


No comments:
Post a Comment