Monday, 17 June 2013

MWENYEKITI WA WAZAZI/CCM TAIFA MH. BULEMBOLEO ZANZIBAR

Kuwasili Makao Makuu ya CCM Mkoa wa Magharibi.
Kama kawaida kwanza Kusaini kitabu cha wageni.
Agenda ni Serikali Mbili na Muungano Daima.
Kufungua Shina la CCM Kinuni.
Kufungua Shina la CCM Dole.
Mkutano wa Hadhara Magogoni, Mkoa wa Magharibi
Ngoma za kienyeji kwanza
Wananchi wakiwa na furaha baada ya hotuba kali sana ya MWenyekiti wa Wazazi/CCM Taifa Mh. Bulembo.
Kuomba Dua baada ya mkutano from left: Le Mutuz + Mh. Bulembo + Mwenyekiti wa UVCCM Taifa Mh. Sadifa + Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Magharibi.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...