Monday 9 June 2014

NAIBU KATIBU MKUU CCM BARA MH MWIGULU NCHEMBA ATIKISA MOROGORO

Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Morogoro na Mbunge wa Jimbo la Morogoro Morogoro Kusini Mh Innocent Kalogeris  akisalimia Wananchi.Wakati wa kumkaribisha Naibu katibu Mkuu wa CCM Tanzania bara na Naibu waziri wa Fedha Mh Mwiguli Nchemba Kwenye Mkutano Wa hadahara katika Viwanja vya Fire Manispaa ya Morogoro. Mwigulu Nchemba akizungumza na Wakazi wa Morogoro amesisitiza kuwa Huu ni wakati wa Kupigania Ajira kwa Vijana na sio Muda wa Kurumbana kuhusu Idadi ya Serikali
 Wananchi wa Morogoro waliojitokeza katika Mkuatano huo

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...