Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na baadhi ya waumini wa dini ya kiislamu muda mfupi baada ya kuswali sala ya Iddi El Hajj katika msikiti wa Maamur Upanga jijini Dar es Salaam leo asubuhi.(Picha na Freddy Maro)

Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na baadhi ya waumini wa dini ya kiislamu muda mfupi baada ya kuswali sala ya Iddi El Hajj katika msikiti wa Maamur Upanga jijini Dar es Salaam leo asubuhi.(Picha na Freddy Maro)


![]() |
| RAIS JAKAYA MRISHO KIKWETE AKIFUNUA PAZIA KUZINDUA JENGO JIPYA LA CHAMA CHA KUWEKA NA KUKOPA (SACCOS) CHA KIJIJI CHA KINOLE, MOROGORO VIJIJINI AGOSTI 22, 2014 |






Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Morogoro na Mbunge wa Jimbo la Morogoro Morogoro Kusini Mh Innocent Kalogeris akisalimia Wananchi.Wakati wa kumkaribisha Naibu katibu Mkuu wa CCM Tanzania bara na Naibu waziri wa Fedha Mh Mwiguli Nchemba Kwenye Mkutano Wa hadahara katika Viwanja vya Fire Manispaa ya Morogoro.
Mwigulu Nchemba akizungumza na Wakazi wa Morogoro amesisitiza kuwa Huu ni wakati wa Kupigania Ajira kwa Vijana na sio Muda wa Kurumbana kuhusu Idadi ya Serikali
Nape Nnauye Katibu wa NEC Itikadi, Siasa na Uenezi akimnadi mgombea ubunge wa jimbo la Chalinze kupitia Chama cha Mapinduzi Ridhiwani Kik wete katika mkutano wa kampeni uliofanyika kwenye Viwanja vya shule ya sekondari ya Changarika kata ya Mbwewe jimboni humo, Ridhiwani Kikwete alishiriki yeye mwenyewe kijenga shule hiyo wakati ya sekondari Changarika akiwa katibu wa uhamasishaji UVCCM taifa na amewaomba wananchi wa kata hiyo kumkopesha imani yao kwake na yeye atawalipa maendeleo.(PICHA NA KIKOSIKAZI CHA FULLSHANGWE- CHALINZE)
Mgombea ubunge wa jimbo la Chalinze kupitia Chama cha Mapinduzi Ridhiwani Kikwete akiwahutubia wananchi wa kijiji cha Pongwe Kiona kata ya Mbwewe leo katika mkutano wa kampeni uliofanyika kijijini hapo.
mgombea ubunge wa jimbo la Chalinze kupitia Chama cha Mapinduzi Ridhiwani Kikwete akiwa katika picha ya pamoja na Juma Pinto Mkurugenzi wa Jambo Concerption na William Malecela kulia.